BBB

advertisement

tangaza sherehe

ADVERTISEMENT

Thursday, August 2, 2012

MWISHO WA DUNIA BADO SIKU 141


Mfuasi wa Freemason.
Yesu feki.
Na Mwandishi Wetu
ZIKIWA zimebaki siku 141 tu kufikia Desemba 21, 2012 ambapo ilitabiriwa kuwa ndiyo mwisho wa dunia, wasiwasi umeongezeka miongoni mwa jamii huku baadhi ya wanasayansi wa Magharibi wakisisitiza kuwa siku hiyo haitapita.
Baadhi ya imani kama ya Kikristo wao wanasikitika kuwa kama ni kweli, basi tukio hilo litatokea siku 4 kabla ya sikukuu ya kuzaliwa mkombozi wao, Yesu Kristo ‘Krismasi’, Desemba 25.
Wengi waliozungumza na gazeti hili walionesha dhahiri hofu yao juu ya mwisho wa dunia wakisema haiingii akilini wala hawapati picha itakavyokuwa.
MWISHO WA KISAYANSI NA KIIMANI
Hofu imezidi kutanda kuelekea Desemba 21, 2012 kwa sababu kuna miisho miwili ya dunia. Wanasayansi wanazungumza vyao, lakini imani nayo haijabaki nyuma kuhusu hilo.
Hakuna shaka kuwa kuwepo kwa utabiri wa kiimani na ule wa kisayansi kuhusu tukio moja ni dalili ya kuwepo kwa ukweli juu ya tukio lenyewe, licha ya kwamba kuna upinzani kutoka pande mbalimbali kuhusu ukweli wa tukio husika.
MWISHO WA KISAYANSI
Kwa mujibu wa kalenda ya Maya, Desemba 21, 2012 dunia itafikia kikomo chake cha mzunguko wa mamilioni ya miaka kisa kikiwa ni sayari ijulikanayo kwa jina la Nibiru kuigonga dunia na kutokea mlipuko ambao hautabakiza kitu duniani.
Wanasayansi wa utabiri huo walisema sayari hiyo imeshaanza safari ya kuikaribia dunia na siku hiyo ndiyo itahitimisha mwelekeo wake.
Hata hivyo, taasisi kubwa ya mambo ya anga nchini Marekani, Nasa imekuwa ikikanusha madai hayo kwamba si ya kweli na kuongeza kuwa ni mbinu ya baadhi ya wanasayansi kuitia hofu dunia.
MWISHO WA KIIMANI
Viongozi mbalimbali wa imani za Kikristo na Kiislam duniani kote hawawezi kumaliza mahubiri yao bila kuwaambia waumini wao kuwa wapo katika nyakati za mwisho wa dunia huku wakinogesha na maandiko kuwa dalili zote zilizoandikwa katika vitabu vitakatifu zimeanza kufanya kazi.
Dalili ambazo viongozi wa kiimani wamekuwa wakizitolea mifano ni watu kupenda fedha kuliko kumpenda Mungu, binadamu kuuana kinyama wenyewe kwa wenyewe, vita ndani ya nchi moja, makabila kwa makabila na falme kwa falme.
Yaliyotokea na yanayoendelea kutokea katika nchi za Tunisia, Misri, Libya, Yemen, Irak, Syria, Sudan (zote) na Ethiopia ni kielelezo tosha.
Hata hivyo, katika mwisho wa kiimani, licha ya viongozi wake kukiri umekaribia, hawakubaliani na kujulikana kwa siku wakisema hakuna ajuaye.
Akizungumzia hilo, Mchungaji Florian Katunzi wa Kanisa la Kiroho la EAGT, Sabasaba, jijini Dar es Salaam alisema wanaoamini kuwa Desemba 21, 2011 ni mwisho wa dunia, wamepotoka.
“Ni uzushi mkubwa, Yesu na malaika wote hakuna anayejua mwisho wa dunia, sasa hao wanaosema ni Desemba 21 wametokea wapi?” alihoji mchungaji huyo.
KWA NINI 21?
Kwa mujibu wa tabiri mbalimbali, tarehe 21, ndiyo zinatajwa sana kuhusika na mwisho wa ulimwengu.
Itakumbukwa kuwa Mei 21, mwaka huu, ilitabiriwa kuwa ingekuwa mwisho wa dunia lakini ikapita. Tarehe nyingine ambazo ziliwahi kudaiwa kutokea kwa mwisho wa dunia ni Novemba 21, mwaka jana, Januari 21, mwaka 1980 na Juni 21, 1987.
WAUMINI HAWAPENDI?
Mchungaji John wa Madhehebu ya Kisabato aliwahi kuzungumza kupitia Radio Morning Star ya jijini Dar es Salaam, Februari 27, mwaka huu saa nne usiku ambapo alisema waumini wengi wa kizazi cha sasa hawataki kusikiliza mahubiri yanayohusu habari za mwisho wa dunia kwa vile hayana faraja kwao.
FREEMASON NA MAANDIKO
Nayo imani ya Ki-freemason haiko nyuma kutajwa katika imani kwamba kwa kipindi hiki cha mwisho wa dunia inavuna waumini wengi kwa vile siku za kufikia mwisho wa dunia zimebaki chache.
Wengi wanaamini kuwa imani hiyo inafanikiwa kuvuna kwa wingi kwa sababu maandiko yanasema ‘njia iendayo upotevuni ni pana na wanaopita huko ni wengi’.
YESU FEKI NAYE APATA WAUMINI
Wakati hali kwa Freemason ikiwa hivyo, yule binadamu anayejiita Yesu lakini ‘feki’ naye anaendelea kuzoa wafuasi wake ambao wanaamini yeye ndiye Kristo aliyeandikwa katika vitabu vya Mungu.
Sergei Torop (48) amekuwa akipita mitaani nchini Russia akihubiri Injili na kuwaombea watu wenye matatizo mbalimbali. Jamaa huyu ana mke na watoto sita.
MEZANI KWA MHARIRI
Hakuna ubishi kwamba imani huja kwa kusikia neno la Mungu, kila binadamu anaamini kwa staili yake kuhusu uwepo wa mwisho wa dunia, lakini ukweli unabaki palepale, kesheni mkisali kwa maana siku wala saa haijulikani. Mwisho wa dunia utakuja kama mw
izi.

35 comments:

  1. Good daу! Thіs is kіnԁ οf off topіc but I
    neeԁ sοme guidance fгom an establiѕhed blοg.
    Is it tough to set up yοur own blog? I'm not very techincal but I can figure things out pretty quick. I'm thіnking about
    maκing my own but I'm not sure where to start. Do you have any points or suggestions? Thank you

    Also visit my site - credit card generator 2011 with cvv and expiration date
    My web-site samsung galaxy note 2

    ReplyDelete
  2. Highly energetic article, I enjoyed that a lot.
    Will there be a part 2?
    Feel free to visit my web site :: healthy weight loss diet

    ReplyDelete
  3. Thanks very nіce blоg!

    Alѕo visіt my ωeb page ... pikavippi
    my website ::

    ReplyDelete
  4. Spot оn with this write-up, I seгiouѕly thinκ
    thiѕ web site needѕ much mоre attentіоn.
    I'll probably be back again to read through more, thanks for the information!

    my web-site ... www.galaxynote2.fr
    my webpage ::

    ReplyDelete
  5. Heуa! I'm at work browsing your blog from my new apple iphone! Just wanted to say I love reading your blog and look forward to all your posts! Carry on the superb work!

    Here is my site ... yjr
    Also visit my website ;

    ReplyDelete
  6. Increԁiblе ρointѕ. Solіd argumentѕ.
    Keep uρ the gοod worκ.

    My web-ѕite;
    Also see my website ::

    ReplyDelete
  7. This design is incredible! You certainly know how to keep a reader
    amused. Between your wit and your videos, I was almost moved
    to start my own blog (well, almost...HaHa!) Great job.
    I really loved what you had to say, and more than that, how you presented it.
    Too cool!
    Feel free to visit my website ; istanbul satilik villalar

    ReplyDelete
  8. What's Happening i'm new tο thіs, I stumbleԁ upon thіs Ι havе fоund Ӏt pοѕіtivеly helpful and іt has
    helρed me out loads. I'm hoping to contribute & help other customers like its helped me. Good job.
    Here is my blog instagram followers now

    ReplyDelete
  9. Oh my goodness! Incredible article dude! Many thanks, However I am going
    through troubles with your RSS. I don't know the reason why I am unable to join it. Is there anyone else having similar RSS issues? Anyone that knows the solution will you kindly respond? Thanx!!

    Feel free to surf to my web page: 10 000 followers on twitter
    Feel free to visit my weblog :: get followers pinterest

    ReplyDelete
  10. Everything published made a bunch of sense. But, consider this, what if you typed a catchier post title?
    I mean, I don't wish to tell you how to run your blog, but what if you added a title that makes people want more? I mean "MWISHO WA DUNIA BADO SIKU 141" is kinda plain. You might glance at Yahoo's front page and see how they create
    article titles to grab people interested. You might add a video or
    a related picture or two to get readers excited about
    what you've written. Just my opinion, it could bring your blog a little livelier.

    Feel free to visit my website :: http://get-plus-followers.com/

    ReplyDelete
  11. Attractive section of content. I just stumbled upon
    your website and in accession capital to assert that I get actually enjoyed account your blog posts.
    Anyway I will be subscribing to your feeds and even I
    achievement you access consistently fast.

    Here is my blog bkb

    ReplyDelete
  12. I read this paragraph completely about the
    difference of most up-to-date and earlier technologies, it's amazing article.

    Feel free to visit my blog post: aot

    ReplyDelete
  13. Hurrah! At last I got a blog from where I know
    how to in fact obtain helpful information concerning my study and
    knowledge.

    My web page - ava fx

    ReplyDelete
  14. Hello i am kavin, its my first time to commenting anywhere, when i read this article i thought i could also
    make comment due to this brilliant piece of
    writing.

    my web-site: get followers

    ReplyDelete
  15. Thanks in support of sharing such a good thinking,
    post is pleasant, thats why i have read it entirely

    Here is my web page get followers

    ReplyDelete
  16. Have you ever thought about including a little bit more than just your articles?
    I mean, what you say is important and everything.
    However think of if you added some great visuals or videos to give your posts more, "pop"!
    Your content is excellent but with images and videos, this blog could undeniably be one of the most beneficial in its field.
    Very good blog!

    Take a look at my web-site :: option fair

    ReplyDelete
  17. What's Going down i am new to this, I stumbled upon this I have found It positively helpful and it has aided me out loads. I'm hoping to contribute & aid other
    customers like its aided me. Great job.

    Visit my webpage ... aaa fx

    ReplyDelete
  18. Your style is very unique compared to other people I've read stuff from. Thank you for posting when you've got the opportunity, Guess I'll just bookmark this web site.

    Have a look at my web blog: get followers

    ReplyDelete
  19. I'm really enjoying the design and layout of your blog. It's a very easy on the eyes which
    makes it much more enjoyable for me to come here and visit more often.
    Did you hire out a developer to create your theme? Outstanding work!


    My site - ava fx

    ReplyDelete
  20. The next time I reаԁ a blog, Ι hope that it ԁoeѕ not fail me aѕ much as this one.
    I mean, Yеs, it waѕ my choiсe to read, howevеr
    I genuinely belіeνeԁ you would have something useful
    to talκ about. All Ι heaг іs а bunch of moаning
    about sоmething that yоu can fix if you weгe not too busy looking for attention.


    my sіtе ... payday loans
    My web page > payday loans

    ReplyDelete
  21. What's up every one, here every person is sharing these kinds of knowledge, therefore it's nice
    to reаd this wеbsitе, аnԁ I used to vіѕit thіs wеblog evеrуԁay.


    Mу pagе - instant loans
    Also see my webpage - instant loans

    ReplyDelete
  22. Very raρiԁly this web рage will be famous amіԁ аll
    blogging visіtors, due tο іt's pleasant articles or reviews

    Here is my page :: payday loans no credit check

    ReplyDelete
  23. Ӏ havе been exploring for a bіt
    for any high quality агticles oг blog posts on thiѕ sort οf house .
    Exploring in Yahoo I at last stumbled upon this wеbѕіte.

    Ѕtudyіng this infо So i am glad to еxpresѕ that I hаve a ѵery еxcellent uncannу feeling ӏ founԁ out just ωhat
    I neеded. I most indubitably wіll mаκe
    ѕure to ԁo not forget this web site and proѵіԁeѕ it a glance on а сontinuіng basis.


    Сheck out my site same day loans
    Also see my webpage: same day loans

    ReplyDelete
  24. What's up to all, the contents existing at this website are in fact remarkable for people knowledge, well, keep up the nice work fellows.

    Feel free to surf to my webpage - payday loans

    ReplyDelete
  25. Whаt's up, this weekend is pleasant in favor of me, as this moment i am reading this wonderful educational paragraph here at my residence.

    Also visit my web-site ... payday loans

    ReplyDelete
  26. I'm not sure where you are getting your information, but great topic. I needs to spend some time learning much more or understanding more. Thanks for fantastic info I was looking for this information for my mission.

    My blog; ミュウミュウ財布

    ReplyDelete
  27. I do trust all of the ideas you've introduced to your post. They are really convincing and will definitely work. Still, the posts are too quick for beginners. May just you please lengthen them a bit from next time? Thanks for the post.

    my weblog: chloe 財布

    ReplyDelete
  28. I almost never create remarks, but i did
    a few searching and wound up here "MWISHO WA DUNIA BADO SIKU 141".
    And I do have a couple of questions for you if you usually
    do not mind. Is it only me or does it look as if like a few of these remarks come across like they are written by brain dead folks?
    :-P And, if you are writing on additional online social sites, I would like to follow anything new you have to
    post. Could you make a list of all of all your community pages like your Facebook page, twitter feed, or
    linkedin profile?

    Check out my blog - トリーバーチ靴

    ReplyDelete
  29. That is a great tip particularly to those fresh to
    the blogosphere. Brief but very accurate information… Thank you for sharing this one.
    A must read article!

    My blog post :: クリスチャンルブタン

    ReplyDelete
  30. After exploring a handful of the articles on your site, I honestly like your
    technique of writing a blog. I book marked it to my bookmark website list and will be checking back soon.
    Please check out my website too and let me know how you
    feel.

    Here is my site - コーチメンズバッグ

    ReplyDelete
  31. Fantastic site you have here but I was curious if you
    knew of any community forums that cover the
    same topics discussed in this article? I'd really like to be a part of online community where I can get suggestions from other knowledgeable individuals that share the same interest. If you have any recommendations, please let me know. Many thanks!

    Look at my blog post ... issaexposed.couragecampaign.org

    ReplyDelete
  32. Hello, Neat post. There is a problem together with your
    web site in internet explorer, would test this? IE still is the marketplace chief and
    a huge element of people will leave out your great writing
    because of this problem.

    Take a look at my blog: トリーバーチ財布

    ReplyDelete
  33. Hey! Someone in my Myspace group shared this site with us so I came to take a look.

    I'm definitely enjoying the information. I'm book-marking
    and will be tweeting this to my followers! Terrific blog and amazing style and design.



    Feel free to visit my webpage ... suavv.com

    ReplyDelete
  34. obѵiously like your web-ѕitе howеver уou nеed tο сheck thе spellіng οn quite
    а few of yοur ροsts.
    Sеѵeral οf them arе rife with sρеllіng iѕѕuеs and I tо
    find it veгy tгoubleѕome to іnform the
    realitу howevеr I will surely сome bаck again.


    Неrе is my pаge :: New Bingo Sites

    ReplyDelete

SHARE

TOA MAONI YAKO KUHUSU POST HII

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...