BBB

advertisement

tangaza sherehe

ADVERTISEMENT

Thursday, June 28, 2012


WEMA SEPETU ANAJIANDAA NA HARUSI

Wiki nzima iliyopita amehit kwenye Blogs,Magazeti,na kila mahali baada ya kumleta mwanadada Staa wa Nollywood, Omotola Jelade kwenye uzinduzi wa Movie yake mpya iitwayo SUPERSTAR pale Giraffe Hotel.Ilionekana kama haiwezekani ila ndo hivyo...Mdada akatua

Katika hali iliyowashtua wengi,Leo,Mwanadada ambae daima yuko kwenye Magazeti, Wema Isaac Sepetu ametoa taarifa kwamba anajiandaa na harusi.

Wema yuko bize akiwaza aina gani ya gauni litamfaa na ameshaomba ushauri kwa watu kadhaa kuhusu choice ya nguo hiyo muhimu

Kwenye page yake ya Twitter,ameandika hili ingawa watu wengi hawakuamini na walimuuliza maswali kadha wa kadha awahakikishie kama ni kweli au ni Movie naye bila hiyana akawaambia ITS FOR REAL

CHEKI TWEET YAKE HAPA CHINI-FOR YOUR INFORMATION,USIPOAMINI HAIYAH ILA NDO HIVYO SASA...DADA HUYOOOOOOO ANAOLEWA!ILA MAHARI BADO

No comments:

Post a Comment

SHARE

TOA MAONI YAKO KUHUSU POST HII

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...