BBB

advertisement

tangaza sherehe

ADVERTISEMENT

Thursday, June 28, 2012

Bima ya afya kwa raia Marekani

Mahakama kuu ya Marekani imeruhusu kisheria moja wapo ya mapendekezo ya Rais Obama kuhusu kuufanyia mageuzi muswada wake wa afya ambao unakabiliwa na changamotokwa misingi ya kikatiba
Mahakama hio imekataa madai kwamba muswaada huo umevuka-mpaka kwa sababu ya kikwazi cha kuwataka wamarekani wote wanunue bima ya afya.
Mahakimu wanne kati ya mahakimu tisa wa mahakama ya juu walipinga pendekezo hilo.
Inaarifiwa kuwa mahakimu hao ni wahafidhina.
Muandishi wa BBC aliye mjini Washington amesema uamuzi huo wa mahakama kuu ni ushindi mkubwa sana kwa rais Obama.

No comments:

Post a Comment

SHARE

TOA MAONI YAKO KUHUSU POST HII

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...